Sunday, December 20, 2009

MAFUTA YA TRANSFOMA SIKU HIZI SIO DILI NINI?

TANESCO UMEPATA DAWA YA WEZI WA MAFUTA YA TRANSFOMA NINI?
Afadhali siku hizi kilio cha kuibwa kwa mafuta ya Trasfoma kimepungua kitu ambacho kimesaidia kuondokana na tatizo la watu kukaa giza kwa muda. Hivi Tanesco wamepata dawa ya kuzuia wizi huu au mafuta hayo si dili tena kwa sasa? Kama dawa imepatikana itakuwa kheri ili zoezi lisiwe la zima moto.

No comments:

Post a Comment