Friday, December 25, 2009

PAPA APIGWA MWELEKA KWENYE MKESHA

PAPA BENEDICTO WA KUMI NA SITA AANGUSHWA NA MWANAMKE BAADA YA MISA YA X-MASS
Papa Benedicto wa Kumi na Sita amepigwa mweleka huko Vatican wakati wa Misa ya Mkesha wa X-Mass na mwanamke mmoja. Papa alirukiwa na mwanamke huyo ambaye anashikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi.

No comments:

Post a Comment