Tuesday, December 22, 2009

MANDHARI YA ENEO LA MAKUMBUSHO

TASWIRA HIZI ZIMECHUKULIWA KWA NYAKATI TOFAUTI YAANI MOJA ASUBUHI NA NYINGINE USIKU
Mandhari ya eneo la Makumbusho mapema asubuhi majira ya saa kumi na mbili.

Taswira hii imechukuliwa usiku majira ya saa mbili katika eneo la Makumbusho

No comments:

Post a Comment