Sunday, December 20, 2009

SHAMBA LA MJINI UMELIONA?

MAZAO YOTE YANAPATIKANA KUANZIA MBOGA ZA MAJANI HADI MATUNDA.
Mjini kuna maeneo watu wanaishi kama kijijini kwetu kwani wanalima vizuri na mazo yao yanastawi vizuri. Mandhari kama hii ni nadra sana kuikuta mjini lakini kuna maeneo watu wanalima tena kila aina ya mboga utaikuta humu. Umekiona kisamvu hicho?

No comments:

Post a Comment