Monday, December 14, 2009

HOMA YA WORLD CUP YAANZA KUPANDA.

BALLACK AKUTWA NA MCHECHETO JUU YA UWEZO WA UJERUMANI KWENYE KOMBE LA DUNIA


Nahodha wa Timu ya Taifa ya Ujerumani Michael Ballack amekiri kikosi chake hakipo madhubuti na kuweza kuchukua ubingwa wa dunia hapo mwakani. Ballack amesema timu hiyo imekosa matokeo ya muendelezo kitu ambacho ni hatari. Kwani imekuwa ikishinda na kupoteza michezo tofauti na ilivyokuwa awali.

No comments:

Post a Comment