Wednesday, June 30, 2010

FEDERER AONDOLEWA WIMBLEDON!!


Bingwa mara sita wa taji la Wimbledon Roger Federer ameondolewa kwenye kinyang'anyiro baada ya kufungwa na Tomas Berdych kwa seti3-1 kwa matokeo ya 6-4 3-6 6-1 6-4. Ndiyo hivyo mkongwe ameiabishwa na kijana mdogo kwenye fani!!!

No comments:

Post a Comment