Tuesday, June 29, 2010

HENRY NA TOURE KUONDOKA BARCELONA!!


Timu ya Barcelona imethibitisha kuondoka kwa wachezaji wake wawili. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Ufaransa Thierry Henry pamoja na Kiungo wa Kimataifa wa Ivory Coast Yaya Toure. Wakati Henry akielezwa yupo njiani kujiunga na Major League Soccer ya nchini Marekani mwenzake Toure anakwenda kuungana na ndugu yake katika Klabu ya Manchester City!!!

No comments:

Post a Comment