Monday, June 28, 2010

SERENA ATINGA ROBO BAADA YA KUMUONDOSHA SHARAPOVA!!



Bingwa Mtetezi wa Taji la Wimbledon upande wa Wanawake Serena Williams amefanikiwa kuvuka kizuizi chake cha kwanza baada ya kumuondosha Maria Sharapova na kutinga hatua ya Robo fainal kwa ushindi wa 7-6 na 6-4!!

No comments:

Post a Comment