Sunday, June 20, 2010

TIMU ZA AFRICA UGONJWA WA MOYO WORLD CUP!!!!









Timu ya Taifa ya Brazil Samba Kings wakiwachakaza Tembo wa Afrika Ivory Coast katika mchezo wa pili katika Kundi la Kifo. Brazil imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 3-1 kwa magoli ya Luis Fabiano na Elano wakati lile la Ivory Coast likifungwa na Didier Drogba!!!

No comments:

Post a Comment