









Timu ya Taifa ya Spain ilikuwa timu ya mwisho kuweza kufuzu katika hatua ya Robo fainal baada ya kuifunga Ureno kwa goli moja kwa nunge wakati mpambano wa mapema ukishuhudia Paraguay ikiiondosha Japan kwa mikwaju ya penalty baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare tasa. Timu hizi mbili yaani Spain na Paraguay zinatarajia kuumana kwenye hatua ya Robo fainal!!!
No comments:
Post a Comment