Wednesday, June 30, 2010

MAN CITY YAKUBALIANA NA DAVID SILVA!!!


Klabu ya Manchester City imefanya mazungumzo na Valencia kwa ajili ya kumnasa Mshambuliaji wake David Silva kwa ada ambayo haijawekwa wazi. Tayari masuala yote yameshakamilika na kilichosalia ni kwa mchezaji huyo kupimwa afya yake tu!!!

No comments:

Post a Comment