Sunday, June 27, 2010

HEKA HEKA ZA KOMBE LA DUNIA!!!


Vijana wa Songea wakihaha kuhakikisha hawapitwi na mitanange ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Afrika Kusini. Kwa sasa imefikia hatua ya mtoano huku timu nne zikiwa zimefuzu katika hatua ya Robo fainal. Picha hii imenaswa na mdau Emmanuel Msigwa akiwa kwenye harakati zake huko Songea!!!

No comments:

Post a Comment