Wednesday, June 23, 2010

GHANA, UJERUMANI, ENGLAND NA MAREKANI ZAFUZU MZUNGUKO WA PILI!!!
















Ghana ndiyo inakuwa timu pekee ya Afrika iliyofanikiwa kufuzu katika mzunguko wa pili kutoka Kundi D na kuungana na Ujerumani wakati Kundi B imeshuhudia Marekani na England nazo zikifuzu. Ghana itacheza na Marekani wakati England itakuwa na kibarua dhidi ya Ujerumani!!

No comments:

Post a Comment