Sunday, June 27, 2010

STENDI YA SONGEA IKIWA KATIKA HALI MBAYA!!!



Hii ndiyo hali halisi ya Stendi Kuu ya Mabasi ya Songea ilivyo. Kwa ujumla hali yake inatisha kwani mazingira yake ni mabaya sana huku hata barabara zinazoingia hapo zikiwa katika hali mbaya. (Picha kwa Hisani ya Mdau Emmanuel Msigwa)

No comments:

Post a Comment