Tuesday, June 29, 2010

BARABARA YA SONGEA NAMTUMBO YAIVA SASA!




Mkurugenzi wa Miradi ya Usafirishaji Kitengo cha Miradi ya Millennia Wizara ya Fedha na Uchumi Salum Sasillo (Kulia) akimkabidhi David Curtarello kutoka kampuni ya Sogea Satom Tanzania mkataba wa ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 67 kwa kiwango cha lami kutoka Songea hadi Namtumbo mbele ya wananchi wa kijiji cha Lumecha wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma. Barabara hiyo inatarajiwa kukamilika baada ya miezi 27 na kutumia zaidi ya bilioni 70.(Taarifa kutoka kwa mdau Emmanuel Msigwa)

No comments:

Post a Comment