Monday, June 28, 2010

NDOTO ZA ENGLAND ZILIPOPOTEA BAADA YA GOLI LAO KUKATALIWA!!




Tayari Timu ya Taifa ya England imeanza kupigia debe teknolojia ya kuamua magoli yenye utata baada ya kujikuta ikinyimwa goli lao halali dhidi ya Ujerumani. England walikataliwa goli lao ambalo huenda lingekuwa la kusawazisha kwa timu hiyo baada ya Frank Lampard kupiga mkwaju uliovuka goli lakini waamuzi wakashindwa kulikubali. Baada ya pigo hilo wameanza kampeni za kutaka kutumika teknolijia katika kuamua magoli yenye utata!!!

No comments:

Post a Comment