Monday, May 31, 2010

UTAMU WA SOKA HATA KWA VIONGOZI WA JUU DUNIANI!!


Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban Ki Moon naye kumbe yumo kwenye usakataji wa kabumbu hapa akimuinua Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni baada ya kuzidiwa na shughuli ya usakataji wa kabumbu!!

No comments:

Post a Comment