
Kiungo wa Kimataifa wa Uholanzi anayesukuma gozi katika Klabu ya Inter Milan Wesley Sneijder amesema atarejea katika Klabu yake ya zamani ya Real De Madrid baada ya kupata mafanikio ya kutwaa mataji matatu akiwa katika Ligi ya Serie A kwenye msimu wake wa kwanza!!
No comments:
Post a Comment