Sunday, May 16, 2010

CHELSEA BINGWA FA!!








Klabu ya Chelsea maarufu kama The Blues wamefanikiwa kutwaa taji lao la pili msimu huu baada ya kuifunga Portsmouth maarufu The Pompey kwenye fainali ya FA kwa goli moja kwa nunge!! Hongereni Wazee wa Darajani kwa kuwa na mwaka wa mafanikio!!

No comments:

Post a Comment