Tuesday, May 4, 2010

TORRES KUKOSA MECHI ZA MWANZO ZA WORLD CUP!!!



Mshambuliaji wa Kimataifa wa Spain ambaye anasukuma gozi katika Klabu ya Liverpool Fernando Torres El Nino yupo mashakani iwapo ataweza kucheza mchezo wa kwanza wa Kombe la Dunia. Torres ambaye amefanyiwa operesheni imeelezwa kuwa uwezekano wa yeye kucheza ni mdogo sasa!!

No comments:

Post a Comment