Monday, May 24, 2010

LIYUMBA AHUKUMIWA MIAKA MIWILI!!




Aliyekuwa Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania BOT Amatus Liyumba amehukumiwa kifungo cha miaka miwili baada ya Mahakama kumkuta na hatia ya kuhusika katika matumizi mabaya ya fedha katika Ujenzi wa majengo pacha ya BOT!!!

No comments:

Post a Comment