Wednesday, May 5, 2010

SILVA AITAMANI MAN UTD!!!!


Mshambuliaji wa Kimataifa wa Spain ambaye anasukuma gozi katika Klabu ya Valencia David Silva ameweka bayana anaitamani Klabu ya Manchester United na kama itaweza kumudu dau lake hawezi kukataa kujiunga nao! Mshambuliaji huyo amesema ni wazi duniani kwa sasa kila mchezaji anatamani kucheza Ligi ya England na hasa Klabu kama Manchester United!!!!

No comments:

Post a Comment