Monday, May 24, 2010
UCHAGUZI ETHIOPIA!!!
Uchaguzi Mkuu nchini Ethiopia umekamilika huku Waziri Mkuu wa sasa Meles Zenawi akipewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi. Tayari wapinzani nchini Ethiopia wameituhumu serikali ya kwamba imefanya wizi wa kura. Matokeo rasmi ya uchaguzi huo yanataraji kutangazwa siku ya Jumanne!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment