Monday, May 24, 2010

JAMAICA KWA WAKA MOTO!!!




Mji Mkuu wa Jamaica Kingston umetawaliwa na machafuko baada ya serikali ya nchi hiyo kumshikilia Christopher Coke. Waziri Mkuu wa nchi hiyo Bruce Golding amesema jeshi lake lipo mbioni kudhibiti hali hiyo ili irejee kwenye utulivu kama awali!!!

No comments:

Post a Comment