Saturday, May 22, 2010

AJALI YA NDEGE INDIA!!!



Takriban watu 158 ambao ni abiria wa Air India wamefariki dunia baada ya ndege waliyokuwa wanasafiria kuanguka katika Mji wa Mangalore wakati taarifa zikisema watu nane wamenusurika!!!

No comments:

Post a Comment