
Saa chache zimesalia kabla ya Bingwa wa mwaka huu wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya hajapatikana. Miamba Inter Milan inatarajiwa kuumana na Bayern Munich. Na tayari Kocha wa Inter Milan Jose Mourinho ameendelea kukataa kuongelea future yake hasa kutokana na kuhusishwa na kujiunga na Real Madrid!!!
No comments:
Post a Comment