Saturday, May 22, 2010

CHAMAKH ATUA RASMI ARSENAL!!


Klabu ya Arsenal imethibitisha kumsajili Mshambuliaji wa kimataifa wa Morocco Marouane Chamakh kwa mkataba wa muda mrefu baada ya kumalizana na timu yake ya Bordeuax ya Ufaransa. Huu ni usajili wa kwanza Arsene Wenger kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi!!!

No comments:

Post a Comment