Friday, May 21, 2010

VITA YA DUNIA INTER MILAN vs BAYERN MUNICH!!



Vita ya Dunia inasubiri kwenye Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya ambayo kwa mara ya kwanza inachezwa siku ya jumamosi tofauti na ilivyozoeleka huwa usiku wa Jumatano. Mchezo huo unawakutanisha Inter Milan wanaonolewa na Jose Antonio Mourinho dhidi ya Bayern Munich iliyochini ya Louis Van Gaal. J e nani kuibuka mbabe kati ya Special One Mourinho au Van Gaal??

No comments:

Post a Comment