Monday, May 31, 2010

BP YAENDELEA KUWA KATIKA WAKATI MGUMU!!


Hali bado ngumu kwa Kampuni ya Mafuta nchini Uingereza ya BP kutokana na kusema ina mpango wa kusitisha mpango wake wa kudhibiti uvujaji wa mafuta ambao unaendelea katika Ghuba ya Mexico. Hatua hiyo imekuja baada ya eneo la Amerika ya Kati kukumbwa na kimbunga cha Agatha ambacho kimefanya kazi iwe ngumu!!

No comments:

Post a Comment