Thursday, May 6, 2010

RAIS YAR'ADUA AFARIKI DUNIA!!!


Rais wa Nigeria Alhaj Umar Yar'Adua amefariki na kuzikwa kijijini kwake baada ya kuwa mgonjwa kwa muda wa miezi karibu saba! Kiongozi huyo amefariki akiwa na umri wa miaka 59 alikuwa anasumbuliwa na Ugonjwa wa Moyo na Ini! Mwenyezimungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi!!!

No comments:

Post a Comment