Friday, May 21, 2010

GRANT ABWAGA MANYANGA PORTSMOUTH!!



Kocha Mkuu wa Klabu ya Portsmouth Avram Grant ambaye ni raia wa Israel ametangaza kujiuzulu nafasi yake baada ya kushindwa kuibakisha Timu huyo Ligi Kuu Nchini England. Grant amethibitisha kubwaga kwake manyanga baada ya hapo awali kuwepo uvumi!!

No comments:

Post a Comment