Thursday, May 6, 2010

MAZISHI YA RAIS YAR'ADUA!!!!






Wakuu wa Jeshi la Nigeria wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Rais Alhaj Umar Yar'Adua ambaye amezikwa katika eneo la Katsina nchini humo!! Mwili huo ulisafirishwa kwa ndege baada ya watu kupata nafasi ya kutoa heshima zao za mwisho kwa Kiongozi huyo!!!

No comments:

Post a Comment