Wednesday, May 12, 2010

NDEGE YA ABIRIA YAANGUKA LIBYA!!


Watu zaidi ya mia moja wamepoteza maisha baada ya ndege ya Afriqiyah ya nchini Libya kuanguka katika Mji wa Tripoli! Mtoto wa miaka minane pekee ndiye ambaye amesalimika kwenye ajali hiyo! Ajali hiyo imetokea wakati ndege hiyo ikitokea nchini Afrika Kusini!!

No comments:

Post a Comment