Sunday, May 16, 2010

BALLACK KUFANYIWA SCAN YA ENKA!!



Nahodha wa timu ya taifa ya Ujerumani Michael Ballack anafanyiwa scan ya kifundo chake cha mguu ambacho ameumia kwenye mchezo wa fainali ya FA dhidi ya Portsmouth. Ballack alipigwa daruga na Kevin Prince Boateng na hivyo yupo mashakani kushiriki fainali za Kombe la Dunia zinazoanza mwezi ujao nchini Afrika Kusini!!!

No comments:

Post a Comment