Thursday, May 6, 2010

RAIS MPYA WA NIGERIA GOODLUCK JONATHAN!!!


Rais mpya wa Nigeria ameapishwa rasmi saa kadhaa kabla ya kuzikwa kwa Alhaj Umar Yar'Adua. Kaimu Rais wa Taifa hilo Jonathan Goodluck ameapishwa kuchukua nafasi ya marehemu Yar'Adua!!!

No comments:

Post a Comment