Wednesday, May 5, 2010

WENGER BADO YUPO YUPO SAANAAA!!!!


Kocha Mkuu wa Klabu ya Arsenal Arsene Wenger amesaini mkataba ambao utamuwezesha kuendelea kukinoa kikosi hicho kilichosheheni Ndama hadi mwaka 2013. Wenger ambaye amekuwa akilaumiwa kutokana na kuendekeza sera yake ya kutumia wachezaji chipukizi atakuwa na jukumu la kuhakikisha timu hiyo inatwaa ubingwa ambao umekuwa historia kwa miaka zaidi ya mitatu sasa!!!!

No comments:

Post a Comment