Monday, May 3, 2010

WAAFRIKA AMBAO WANATAMBA INTER MILAN!!




Hawa ni wachezaji ambao wanambeba Jose Antonio Mourinho katika Klabu ya Inter Milan ambayo inausaka Ubingwa wa Italy pamoja na Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya. Wachezaji hawa ni Mshambuliaji wa Kimataifa wa Cameroon Samuel Etoo Fils,Kiungo wa Kimataifa wa Ghana (Black Stars) Sulley Ally Muntari na Kiungo wa Kenya McDonald Mariga.

No comments:

Post a Comment