Sunday, May 16, 2010

BAYERN MUNICH YATWAA TAJI LA PILI!!!


Klabu ya Bayern Munich imefanikiwa kutwaa ubingwa wake wa pili mwaka huu baada ya kushinda taji la Chama Cha Soka nchini Ujerumani kwa kuichakaza Werder Bremen kwa magoli manne bila ya jibu!! Magoli ya washindi wamefungwa na Arjen Robben, Ivica Olic, Franck Ribery na Bastian Schweinsteiger. Bayern wametinga pia fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya wakiwa na kibarua dhidi ya Inter Milan!!

No comments:

Post a Comment