Saturday, February 27, 2010

DARAJA LAVUNJWA!!!


Matajiri wa Jiji la Manchester, Klabu ya Manchester City wamefanikiwa kuvunja daraja baada ya kuipa kichapo Chelsea cha magoli 4-2. Mchezo huo uliopigwa katika dimba la Stamford Bridge ulitawaliwa na upinzani mkali lakini cha kufurahisha kila mchezaji aliyefunga ameondoka na magoli mawili. Poleni Wazee wa Darajani ndiyo Ukubwa huo!!!

No comments:

Post a Comment