Wednesday, February 24, 2010

RAIS YAR'ADUA AREJEA NYUMBANI!!!


Rais wa Nigeria Umar Yar'Adua amerejea nyumbani baada ya kuwa nchini Saudi Arabia kwa matibabu yaliyodumu kwa kipindi cha miezi mitatu!! Hakuna taarifa zaidi iwapo Rais huyo ataendelea na majukumu yake ya kikazi au la!!!

No comments:

Post a Comment