Friday, February 19, 2010

KILIMO CHA MPUNGA MOSHI!!!







Mashamba haya ukiyaangalia unaweza kuhisi ni Mbeya au Shinyanga lakini hapana. Hapa ni Moshi ambapo kilimo cha mpunga kimechukua mashiko kwa kiasi kikubwa. Mradi huu ambao unasaidiwa kwa kiasi kikubwa na serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Japan (JICA)!!

No comments:

Post a Comment