Wednesday, February 24, 2010

WABONGO WAKISAKA RIZIKI!!








Hawa ni vijana wa Kitanzania ambao wanasaka riziki yao ya kila siku na kuwa na matumaini siku moja watafurahia maisha bora ambayo yaliahidiwa na Mkuu wa nchi! Hapa kila mmoja anaumiza kichwa kuhakikisha mambo yake yanamnyookea licha ya vizingiti wanavyovikumbana navyo!!

No comments:

Post a Comment