





Kocha Mkuu wa Manchester United Sir Alex Ferguson ametetea kichapo alichokipata kutoka kwa Everton kimechangiwa na wachezaji wake kuchoka. Lakini amesema ana imani watafanya vizuri kwenye mchezo wao dhidi ya West Ham United.
Matokeo mengine ya Ligi hiyo ni kama ifuatavyo:
Barclays Premier League
Arsenal 2-0 Sunderland
Everton 3-1 Man Utd
Portsmouth 1-2 Stoke
West Ham 3-0 Hull
Wolverhampton 0-2 Chelsea
No comments:
Post a Comment