Monday, February 22, 2010

KIPAWA HIVI SASA KWEUPE!!!




Kama ndiyo mara yako ya kwanza kukanyaga katika Jiji hili na ukaletwa katika sehemu ya Kipawa huwezi ukaamini ukiambiwa kama hapa palijaa majumba. Lakini kwa sasa eneo hili lote ni jeupe kabisa baada ya serikali kuvunja kupisha upanuzi wa Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere. Maendeleo huwa yanakuja na athari zake!!!!

No comments:

Post a Comment