




Mshike mshike wa Ligi ya Europa umeendelea na kushuhudia Everton akiondoshwa katika mashindano baada ya kufungwa magoli 3-0 na Sporting Lisbon. Fulham imefuzu baada ya kutoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Shakhtar Donestk wakati ambapo Liverpool ikitoa onyo kwa Unirea kwa kuifunga magoli 3-1
No comments:
Post a Comment