Thursday, February 25, 2010

BRIDGE ATUNDIKA DARUGA SOKA YA KIMATAIFA!!!


Beki wa Kimatifa wa England na Klabu ya Manchester City Wayne Bridge ametangaza kutundika daruga katika soka la Kimataifa. Bridge kupitia kwa mwanasheria wake ametangaza kustaafu soka ya kimataifa na kuweka bayana anaona nafasi yake ni finyu katika kikosi cha England. Wafuatiliaji wa mambo wanasema hatua hiyo yawezekana imechangiwa na hatua ya John Terry kutembea na mchumba wake.

No comments:

Post a Comment