Wednesday, February 24, 2010

INTER MILAN YAIUA CHELSEA SAN SIRO!!!









Michezo ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya imeendelea na kushuhudia Inter Milan ambayo inanolewa na Jose Mourinho ikivuna ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya timu yake ya zamani Chelsea. Katika mchezo huo magoli ya Inter Milan yamefungwa na Diego Milito na Estabian Cambiasso wakati lile la Chelsea limefungwa na Solomon Kalou! Cha kufurahisha Mourinho hakuthubutu kushangilia hata goli moja na sasa marejeano ni majuma matatu yajayo katika Dimba la Stamford Bridge!!

No comments:

Post a Comment