Thursday, February 25, 2010

MAKAMU WA RAIS NIGERIA KUENDELEA KUPETA!!!!


Serekali ya Nigeria kupitia kwa Waziri wake wa Habari Dora Akunyili imesema Makamu wa Rais wa nchi hiyo Jonathan Goodluck ataendelea kushika wadhifa wa Kukaimu nafasi ya Urais

No comments:

Post a Comment