Wednesday, March 3, 2010

ENGLAND YAIZAMISHA MISRI!!!






Mabingwa wa Afrika, Misri maarufu kama Mapharao wamekumbana na kichapo kutoka kwa timu ya taifa ya England katika mchezo uliopigwa katika dimba la Wembley. Magoli mawili ya Peter Crouch moja la Shaun Wright Philipps walitosha kulizima lile lililofungwa na Mohamed Zidan na kufanya mambo kuwa 3-0

No comments:

Post a Comment