Tuesday, July 6, 2010

WOZA 2010-HOLLAND YATINGA FAINAL!!!










Timu ya Taifa ya Holland imefanikiwa kukata tiketi ya kutinga Soccer City kwa ajili ya Fainal baada ya kuichabanga Uruguay kwa magoli 3-2. Holland sasa inasubiri mpinzani wake kwa ajili ya mchezo wa fainal utakaopigwa Jumapili!!!

No comments:

Post a Comment